May 17, 2017

Day

Makamu wa Mkuu wa Chuo mpya Profesa Raphael Chibunda ameanza kazi rasmi baada ya kutambulishwa kwa wanajumuiya/ wafanyakazi wa Chuo. Profesa Chibunda ametambulishwa rasmi tarehe 09/05/2017 na Makamu wa Mkuu wa Chuo aliyemaliza kipindi chake cha uongozi Profesa Gerald C. Monela, katika mkutano maalum uliofanyika katika ukumbi wa Multipurpose. Kampasi kuu. kwa taarifa zaidi http://www.suanet.ac.tz/index.php/270-allarticles/891-makamu-wa-mkuu-wa-chuo-mpya-atambulishwa-na-kuanza-kazi-rasmi...
Read More